` (aluminium foil) KWENYE SIMU KUBWA (smart phone )?๐ค`
Mara nyingi tumezoea kuona foil ( aluminium foil) zikitumika kwenye kufungia chipsi ๐vibandani
Je, umeshawahi kujiuliza unawezaje kutumia aluminium foil kwenye smart phone ?
Shuka nayo hii mtu wangu ๐ฅด๐ฅด
⚠️ISITUMIKE KWA UHARIFU WAZEE ๐ ๐
Ikitokea umeokota simu, umeiba๐ ๐ au hutaki watu wakusumbue basi chukua SIMU yako (smart phone) kisha ifunge kwenye aluminium foil kama unavyofungaga chipsi au kuku na hakikisha FOIL yako haijatoboka ( usiruhusu hata upenyo kidogo ) kisha weka simu yako sehemu yoyote ile
--Hata iweje hautaweza kupatikana na mtu yoyote yule iwe kwa kupiga simu๐, kutuma message, au ku track๐ฅ๐
⚠️Calls, message za online au normal zitaingia baada tu ya kuitoa simu yako kwenye Aluminium foil ๐ซ
⚠️Baada ya kuiba hiyo simu kabla hujafika k/koo kwenye chimbo letu tafuta FOIL yako mapema uweke tambo lako ๐๐
*TEMBELEA SITE YETU UPATE VINGI ZAIDI KUJIFUNZA*
LINK ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
